Friday, June 22, 2012
Tuesday, June 19, 2012
Sunday, June 17, 2012
Friday, June 15, 2012
KUTANA NA DOUGLAS PIUS(DP). MTANGAZAJI ANAYEPIGANIA KUKUBALIKA KWA HIPOP GOSPEL TANZANIA.
Douglas Pius(DP) ni mtangazaji wa kituo cha radio cha praise power kilichopo Mikocheni B Dar-es-salaam Tanzania.Harakati zake za utangazaji zilianzia mkoani Mbeya ambapo alianza kutangaza kupitia kituo cha radio kijulikanacho kama BOMBA FM.Na baada ya muda alihamia katika kituo cha radio ya kidini ijulikanayo kama BARAKA FM ipatikananyo jijini Mbeya na kuzidi kufanya vizuri zaidi mpaka ikapelekea kuchukuliwa na radio ya PRAISE POWER kinachomilikiwa na kanisa la Mikocheni B Assemblise of God.
Kabla hajaokoka DP alikuwa anafanya muziki wa Rap hivyo alivyookoka aliendelea kulinyanyua jina la Yesu kwa njia ya HIPOP GOSPEL.
Kwasasa amefanikiwa kuanzisha kipindi cha HIPOP GOSPEL kupitia kituo cha PRAISE POWER na kipindi icho kinalushwa kila siku ya jumamosi kuanzia saa 10 za jioni mpaka saa 1 za usiku.
UCHAGUZI WA NGAZI YA URAISI NA MAKAMU WA RAISI WAFANYIKA LEO ROYAL COLLEGE OF TANZANIA
Wanafunzi wa Royal College of Tanzania wanatumia haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi wao kwa ngazi ya Uraisi na Makamu wa urais ambapo nafasi izo zinawaniwa na DAMIAN NDELWA maalufu kwa jina la pastor na PETER kwa nafasi ya Uraisi uku mgombea mmojawapo JACKSON MSABAHA akiondolewa kwenye kinyang'anyilo ilo baada ya kutotimiza vigezo.
kwa taharifa zaidi tafuta group ya May 2011-2012 intake ROYAL COLLEGE OF TANZANIA people and their friends on facebook
Thursday, June 14, 2012
UNAWAKUMBUKA MAKOMA?
Kundi linalotisha kwenye nyimbo za injili hususani kwenye
pop, R&B na dance ambalo limekuwa alivumi sana kwa sasa nchini kwetu wenye asili ya Kongo wameibuka upya kwenye AFRICA MUSIC AWARD 2012.
Ndugu hao wanatarajiwa kuwa mojawapo ya watumbuizaji walioalikwa kwenye tukio ilo la kusisimua linalopangwa kufanyika 7/7/2012
for more detail visit http://africagospelawards.com/
Ndugu hao wanatarajiwa kuwa mojawapo ya watumbuizaji walioalikwa kwenye tukio ilo la kusisimua linalopangwa kufanyika 7/7/2012
for more detail visit http://africagospelawards.com/
NYIMBO MPYA http://www.youtube.com/watch?v=YgN-5OP6Zpk
Hii ni nyimbo iliyotoka hivi karibuni inayafanya vizuri katika vituo vay radio na television nchini.
Ze Drinkie ft King Charles-Cheka Kidogo(prod by Hans Q
Imefanyika (BongoTzNEWVideo).
Hii ni nyimbo iliyotoka hivi karibuni inayafanya vizuri katika vituo vay radio na television nchini.
Ze Drinkie ft King Charles-Cheka Kidogo(prod by Hans Q
Imefanyika (BongoTzNEWVideo).
Subscribe to:
Posts (Atom)