Friday, June 15, 2012

UCHAGUZI WA NGAZI YA URAISI NA MAKAMU WA RAISI WAFANYIKA LEO ROYAL COLLEGE OF TANZANIA





Wanafunzi wa Royal College of  Tanzania wanatumia haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi wao kwa ngazi ya Uraisi na Makamu wa urais ambapo nafasi izo zinawaniwa na DAMIAN NDELWA maalufu kwa jina la pastor na PETER kwa nafasi ya Uraisi uku mgombea mmojawapo JACKSON MSABAHA akiondolewa  kwenye kinyang'anyilo ilo baada ya kutotimiza vigezo.


kwa taharifa zaidi  tafuta group ya May 2011-2012 intake ROYAL COLLEGE OF TANZANIA people and their friends  on facebook

No comments:

Post a Comment