Friday, June 15, 2012
UCHAGUZI WA NGAZI YA URAISI NA MAKAMU WA RAISI WAFANYIKA LEO ROYAL COLLEGE OF TANZANIA
Wanafunzi wa Royal College of Tanzania wanatumia haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi wao kwa ngazi ya Uraisi na Makamu wa urais ambapo nafasi izo zinawaniwa na DAMIAN NDELWA maalufu kwa jina la pastor na PETER kwa nafasi ya Uraisi uku mgombea mmojawapo JACKSON MSABAHA akiondolewa kwenye kinyang'anyilo ilo baada ya kutotimiza vigezo.
kwa taharifa zaidi tafuta group ya May 2011-2012 intake ROYAL COLLEGE OF TANZANIA people and their friends on facebook
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment